Magonjwa ya Moyo Uko Hatarini Kuyapata Kama Hudhibiti Presha
Usipodhibiti, shinikizo la damu la juu, au kama linavyojulikana sana #presha, linaweza kusababisha magonjwa ya moyo. Fahamu magonjwa haya na namna ya kuyaepuka
Usipodhibiti, shinikizo la damu la juu, au kama linavyojulikana sana #presha, linaweza kusababisha magonjwa ya moyo. Fahamu magonjwa haya na namna ya kuyaepuka
Kuna tofauti katika ya kupata shinikizo la damu kati ya wanaume na wanawake? Wanaume na presha Kwa ujumla, wanaume wako katika hatari kubwa zaidi ya kupata shinikizo la damu kuliko wanawake. Hii ni kwa sababu ya sababu kadhaa za kibaolojia, kijamii na tabia. Kwa upande mmoja, wanaume mara nyingi huwa na uzito mkubwa wa mwili
Wagonjwa wengi wanaathrika na Madhara ya presha ingawa yanazuilika! Nini hutokea, je, wangeweza kuepuka? Fahmu zaidi
Lehemu inahitajika mwilini. Hatahivyo lehemu husababisha presha, kiharusi na shambulio la moyo kama ikizidi. Fahamu namna ya kudhibiti kiwango cha lehemu kwenye damu
Kiharusi ni ugonjwa unaowakumba watu ghafla na kusababisha vifo na ulemavu wa kudumu. Hatahivyo, kiharusi kinaweza kuepukika kwa kuwa na elimu sahihi na kufanya mambo haya muhimu. Soma zaidi tafadhali
Epuka figo kufeli kunakosababishwa na kisukari na shinikizo la juu la damu kwa kufahamu jambo 1 muhimu. Usingoje hadi kuchelewa sana! Anza kulinda afya yako leo. Fahamu zaidi
Kufahamu tiba ya presha ni muhimu ili kudhibiti na kuepuka madhara ya presha. Nimekuandikia mambo muhimu unayohitaji kufahamu kuhusu tiba ya presha. Tafadhali soma zaidi
Kufahamu tiba ya presha ni muhimu ili kudhibiti na kuepuka madhara ya presha. Nimekuandikia mambo muhimu unayohitaji kufahamu kuhusu tiba ya presha. Tafadhali soma zaidi
UTANGULIZI. Ugonjwa wa Shinikizo la juu la damu kipindi cha mimba umeongezeka kutoka milioni 16.30 mpaka milioni 18.08 duniani,ambayo ni ongezeko la asilimia 10.92 kutoka mwaka 1990 mpaka 2019.Tatizo hilo linaongoza kusababisha vifo na matatizo kwa akina mama wajawazito duniani. Miongoni mwa matatizo yanayotokana na shinikizo la juu la damu kipindi cha mimba ni kifafa
Ugunduzi wa sababu hii na tiba ni wa muhimu na unaweza kuwaepusha wagonjwa wengi wa shinikizo la juu la damu – presha kupata madhara kama vile kiharusi na figo kufeli. Waliogundua tiba hii wanasema takriban 99% ya wenye vivimbe hivi kwenye tezi ya adrenal bado hawajatambuliwa. Soma zaidi tafadhali