Sio protini zote zinazofaa kwa mgonjwa wa kisukari. Kwenye makala...
Read MoreKisukari / Diabetes Mellitus
Kisukari, ni ugonjwa unaosababisha kuwa na sukari zaidi ya kiwango kinachotakiwa kwenye damu. Madhara mabaya ya kisukari ni ukaukaji wa maji kwenye seli za mwili, koma na kifo kama hujatibiwa kwa haraka.
Ugonjwa huu ni mkubwa kiasi gani? Inakadiriwa kuwa kati ya watu 100, nane wana ugonjwa wa kisukari. Hatahivyo, kwakuwa sukari inaweza kuwepo kwa muda mrefu bila kuonesha dalili, karibia asilimia 30% ya wanye kisukari hawajijui. Hii husababisha wengi kuwa tayari na madhara ya kisukari wakati wanapogundulika kuwa na ugonjwa huu.
Kisukari husababishwa na kuharibiwa kwa seli kwenye Kongosho au kutokufanya kazi kwa insulin au vyote kwa pamoja. Kongosho ina seli zijulikanazo kama Beta. Seli hizi ndizo hutoa Insulini. Utafiti unaonesha kwamba mwili hushindwa kuzalisha seli hizi kama zitaharibika kwa watu wenye umri zaidi ya miaka 30.
Soma zaidi
Kiharusi: Ugonjwa Hatari Unaoathiri Ubongo
Kiharusi ni ugonjwa hatari unaotokea ghafla na unaweza kuathiri mtu...
Read MoreFigo kufeli, presha na kisukari: Wauwaji 3 wa kimya kimya
Epuka figo kufeli kunakosababishwa na kisukari na shinikizo la juu...
Read More
Kiwango Sahihi Cha Sukari Mwilini: Kwa Nini Ni Muhimu Kupima Mara kwa Mara?
Je, unajua kiwango sahihi cha sukari mwilini kinapaswa kuwa kipi?
Kutokujua

Fahamu Aina za Tiba ya Kisukari
Tiba ya kisukari ipo na haipo kutegemea na aina ya kisukari

Dalili za Kisukari: Kuelewa Ishara kwa Wanaume, Wanawake, na Watoto
Dalili za Kisukari kwa Mwanaume Kisukari kinaweza kujitokeza kwa njia mbalimbali