fbpx

Kama Una Magonjwa Haya, Uko Hatarini Kupata Kisukari

Facebook
Twitter
WhatsApp

Imeandikwa na Dr. Adinan J. MD. MSc. FDHS. F.Forgatty, mtafiti wa magonjwa na  mkufunzi wa vyuo vya Afya kwa zaidi ya miaka 10. 

Kuwa na Shinikizo la juu la damu, Maambukizi kwenye mfumo wa hewa, magonjwa ya moyo, maambukizi kwenye macho, pua na koo, na Pumu.

Katika utafiti huo uliochapishwa kwenye jarida la tiba ya kisukari, Adrian Heald na wenzake wametanabahisha hayo baada ya kufanywa uchambuzi wa taarifa za wagonjwa 1932 nchini Uingereza.

Je, na wenye magonjwa haya huku kwetu wako kwenye hatari ya kupata kisukari mbeleni?

Nini maoni yako?

Soma zaidi utafiti huu HAPA

Ukiwa Tayari! Namna 3 tunasaidia kuboresha afya yako

  1. AFYAPlans inakuwezesha Kudhibiti na kuepuka madhara kisukari: Ungana na Daktari wako kwa msaada na mwongozo binafsi Kuhusu dawa, VIPIMO, maarifa na ujuzi. Bonyeza HAPA kujiunga grupu letu. 

  2. Vitabu vya Elimu vinavyokuwezesha kufanya Maamuzi sahihi kuboresha afya yako. Mfano kudhibiti kisukari huku ukila Vyakula unavyovipenda. Bonyeza HAPA kufahamu zaidi

  3. Vifaa vya Matibabu ya Nyumbani vinavyokupa amani na uhakika wa afya yako muda wote. Bonyeza HAPA kuvifahamu.

Uko tayari kuboresha AFYA Yako? Tuwasiliane

Leave a Replay

Zilizosomwa zaidi

Follow Us on Facebook

Follow Us on Twitter

Shopping Cart
Muulize Dr. Adinan
1
Muulize Dr. Adinan
Chat na Dr. Adinan
Hello 👋.
Ungependa kuuliza nini kuhusu Kama Una Magonjwa Haya, Uko Hatarini Kupata Kisukari?
Mimi ni Dr. Adinan