Hatua za Kufuata Kudhibiti Kisukari Kisiharibu Maisha Yako ya Kimapenzi

Je! Unajua kisukari kinaweza kuathiri afya ya uzazi kwa wanaume na wanawake? Kujifunza zaidi juu ya athari hizi na jinsi ya kudhibiti kisukari kwa afya bora ya uzazi.

Soma zaidi kufahamu: #Kisukari kinaweza kuathiri #afya ya #azani ya mwanaume na mwanamke. Fahamu athari hizi na namna ya kuziepuka. https://afyatechtz.com/athari-kisukari-kwenye-afya-uzazi-mwanaume-mwanamke/

@wizara_afyatz @mohznz1 @AdinanJKA

Read More »

Lishe kwa mgonjwa wa kisukari anayenyonyesha

Mama mwenye kisukari unahitajika kunyonyesha kutokana na faida nyingi kwako na kwa mtoto wako. Moja ya faida hizi ni kupunguza hatari ya magonjwa. Hatahivyo unaponyonyesha kiwango cha sukari kwenye damu hubadilika hivyo kuhitaji wewe kuwa na uelewa sahihi ili kuweza kulinda afya yako na ya mtoto wako. Tafadhali soma zaidi

Read More »

Lishe Bora Kwa Mtu Mzima

Vyakula huathiri vipi ugonjwa wa kisukari?   Aina ya chakula unachokula kinaweza kuathiri kiwango cha sukari kwenye damu yako. Vyakula vingine huongeza kiwango cha sukari kwenye damu haraka hivyo inabidi upunguze au uviepuke.   Kuna vyakula vingine ambavyo huongeza kiwango cha sukari kwenye damu yako taratibu, hivi inabidili uvile kwa uangalifu.   Na, kuna vyakula

Read More »

Madhara ya kisukari: Kinywa na Meno

Madhara ya Kisukari: Kinywa na Meno Ugonjwa wa Kisukari husababisha kiwango cha sukari kuwepo kwa wingi katika damu na hivyo katika mate yako. Bakteria walioko mdomoni hutumia sukari hii kama chakula. Kwa hiyo bakteria hukuwa na kustawi zaidi katika mazingira yenye sukari.  Bakteria hawa husababisha meno kuoza na kutoboka. Na kama hujapata tiba haraka unaweza

Read More »
Shopping Cart